Luke 23:2
2 aNao wakaanza kumshtaki wakisema: “Tumemwona huyu mtu akipotosha taifa letu, akiwazuia watu wasilipe kodi kwa Kaisari na kujiita kuwa yeye ni Al-Masihi, ▼▼ Al-Masihi maana yake ni
Masiya , yaani
Aliyetiwa mafuta. mfalme.”
Copyright information for
SwhKC